Swali: Mwenye kuweka nadhiri ya kuchinja kila mwaka lakini baadhi ya miaka akashindwa. Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Anatakiwa kutoa kafara ya kiapo chake. Kafara ya nadhiri inayovunjwa inakafiriwa kafara ya kiapo, kama ilivyotajwa kwenye Hadiyth.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
- Imechapishwa: 22/11/2020
Swali: Mwenye kuweka nadhiri ya kuchinja kila mwaka lakini baadhi ya miaka akashindwa. Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Anatakiwa kutoa kafara ya kiapo chake. Kafara ya nadhiri inayovunjwa inakafiriwa kafara ya kiapo, kama ilivyotajwa kwenye Hadiyth.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
Imechapishwa: 22/11/2020
https://firqatunnajia.com/ameshindwa-kutekeleza-nadhiri-ya-kuchinja-kila-mwaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)