Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye katawadha na akapangusa kichwa chake lakini hata hivyo amesahau kupangusa masikio yake?
Jibu: Akikumbuka papo hapo basi anatakiwa kupangusa masikio yake kisha aoshe miguu yake. Ama kama kumepita muda mrefu au tayari ameshaswali basi anatakiwa kuirudi swalah yake.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 30/09/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye katawadha na akapangusa kichwa chake lakini hata hivyo amesahau kupangusa masikio yake?
Jibu: Akikumbuka papo hapo basi anatakiwa kupangusa masikio yake kisha aoshe miguu yake. Ama kama kumepita muda mrefu au tayari ameshaswali basi anatakiwa kuirudi swalah yake.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 30/09/2018
https://firqatunnajia.com/amesahau-kupangusa-masikio-wakati-wa-kutawadha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)