Swali: Kuna mtu amefanya ´Umrah na akasahau kunyoa kichwa chake baada ya kufanya Twawaaf na Sa´y ambapo akavaa nguo zake za kawaida. Baadaye akakumbuka kuwa alisahau kunyoa kichwa. Ni kipi kinachomlazimu hivi sasa?
Jibu: Pale alipokumbuka ndipo analazimika kuvua nguo zake, kuvaa mavazi ya Ihraam na kunyoa kichwa chake. Halafu ndio avae nguo zake za kawaida.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (21) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 08/03/2020
Swali: Kuna mtu amefanya ´Umrah na akasahau kunyoa kichwa chake baada ya kufanya Twawaaf na Sa´y ambapo akavaa nguo zake za kawaida. Baadaye akakumbuka kuwa alisahau kunyoa kichwa. Ni kipi kinachomlazimu hivi sasa?
Jibu: Pale alipokumbuka ndipo analazimika kuvua nguo zake, kuvaa mavazi ya Ihraam na kunyoa kichwa chake. Halafu ndio avae nguo zake za kawaida.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (21) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 08/03/2020
https://firqatunnajia.com/amesahau-kunyoa-kichwa-chake-baada-ya-say/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)