Swali: Vipi mtu akiingia chooni na akasahau kuwa mfukoni mwake ana msahafu au Qur-aan ilio na msahafu?
Jibu: Hakuna neno juu ya hilo midhali Qur-aan hiyo iko mfukoni mwake na ameifunika na kufichikana. Hakuna neno juu ya hilo. Lakini bora zaidi ni yeye asiingie bafuni au sehemu ya kukidihia haja na kitu kilicho na utajo wa Allaah. Ni mamoja ikawa Qur-aan au kitu kingine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16854
- Imechapishwa: 17/03/2018
Swali: Vipi mtu akiingia chooni na akasahau kuwa mfukoni mwake ana msahafu au Qur-aan ilio na msahafu?
Jibu: Hakuna neno juu ya hilo midhali Qur-aan hiyo iko mfukoni mwake na ameifunika na kufichikana. Hakuna neno juu ya hilo. Lakini bora zaidi ni yeye asiingie bafuni au sehemu ya kukidihia haja na kitu kilicho na utajo wa Allaah. Ni mamoja ikawa Qur-aan au kitu kingine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16854
Imechapishwa: 17/03/2018
https://firqatunnajia.com/amesahau-akaingia-chooni-na-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)