Swali: Mwenye kufunga siku ishirini na nane kisha akasafiri nchi nyingine ambapo kwao mwezi mwandamao wa Shawwaal umethibiti kuingia – afanye nini? Lini afunge siku hiyo ambayo amebaki anadaiwa?
Jibu: Akisafiri kabla ya siku ishirini na tisa kisha akafika katika nchi nyingine hali ya kuwa ni msafiri ilihali wao wamefunga, basi atatakiwa kufunga pamoja nao. Na ikiwa wao hawakufunga basi atafungua pamoja nao. Hakuna utatizi katika hili. Halafu baadaye atalipa siku moja baada ya siku ya idi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: I´laam-ul-Musaafiriyn, uk. 73-74
- Imechapishwa: 01/06/2019
Swali: Mwenye kufunga siku ishirini na nane kisha akasafiri nchi nyingine ambapo kwao mwezi mwandamao wa Shawwaal umethibiti kuingia – afanye nini? Lini afunge siku hiyo ambayo amebaki anadaiwa?
Jibu: Akisafiri kabla ya siku ishirini na tisa kisha akafika katika nchi nyingine hali ya kuwa ni msafiri ilihali wao wamefunga, basi atatakiwa kufunga pamoja nao. Na ikiwa wao hawakufunga basi atafungua pamoja nao. Hakuna utatizi katika hili. Halafu baadaye atalipa siku moja baada ya siku ya idi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: I´laam-ul-Musaafiriyn, uk. 73-74
Imechapishwa: 01/06/2019
https://firqatunnajia.com/amesafiri-nchi-nyingine-ambayo-wametofautiana-mwezi-mwandamao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)