Swali: Ni ipi hukumu damu ya mwanamke ikikatika baada ya ada ya mwezi? Je, inazingatiwa ni kutwaharika pamoja na kwamba hajaona al-Qaswah al-Baydhwaa´?
Jibu: al-Qaswah al-Baydhwaa´ inakuja pale damu inapokatika. Kwa sababu damu inapokatika mwanamke hutokwa na mtiririko mweupe na hahisi tena kutokwa na damu. Hii ndio “al-Qaswah al-Baydhwaa´”. Kujengea juu ya hili pale damu/hedhi ya mwanamke inapokatika basi mwanamke amesafika na hapo swalah na swawm itakuwa ni wajibu kwake. Vilevile itafaa kwa mume wake kumjamii ikiwa yuko na mume.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (71) http://binothaimeen.net/content/1640
- Imechapishwa: 31/03/2020
Swali: Ni ipi hukumu damu ya mwanamke ikikatika baada ya ada ya mwezi? Je, inazingatiwa ni kutwaharika pamoja na kwamba hajaona al-Qaswah al-Baydhwaa´?
Jibu: al-Qaswah al-Baydhwaa´ inakuja pale damu inapokatika. Kwa sababu damu inapokatika mwanamke hutokwa na mtiririko mweupe na hahisi tena kutokwa na damu. Hii ndio “al-Qaswah al-Baydhwaa´”. Kujengea juu ya hili pale damu/hedhi ya mwanamke inapokatika basi mwanamke amesafika na hapo swalah na swawm itakuwa ni wajibu kwake. Vilevile itafaa kwa mume wake kumjamii ikiwa yuko na mume.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (71) http://binothaimeen.net/content/1640
Imechapishwa: 31/03/2020
https://firqatunnajia.com/amesafika-na-hedhi-lakini-haoni-mtiririko-mweupe-ukitoka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)