Swali: Kuna mwanamke amepoteana na Mahram wake sehemu ya kurusha vijiwe, jambo lilisababisha akashindwa kurusha vijiwe. Akamuwakilisha mtu asiyemjua amrushie vijiwe. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ikiwa mtu huyo ni mwaminifu hapana ubaya akawakilisha mtu amrushie vijiwe kwa sababu yeye katika hali kama hii hawezi. Lakini endapo angelichelewesha kurusha vijiwe mpaka pale atapompata Mahram wake ambapo akaenda naye na akajirushia vijiwe mwenyewe, ingelikuwa bora zaidi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (61) http://binothaimeen.net/content/1410
- Imechapishwa: 14/12/2019
Swali: Kuna mwanamke amepoteana na Mahram wake sehemu ya kurusha vijiwe, jambo lilisababisha akashindwa kurusha vijiwe. Akamuwakilisha mtu asiyemjua amrushie vijiwe. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ikiwa mtu huyo ni mwaminifu hapana ubaya akawakilisha mtu amrushie vijiwe kwa sababu yeye katika hali kama hii hawezi. Lakini endapo angelichelewesha kurusha vijiwe mpaka pale atapompata Mahram wake ambapo akaenda naye na akajirushia vijiwe mwenyewe, ingelikuwa bora zaidi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (61) http://binothaimeen.net/content/1410
Imechapishwa: 14/12/2019
https://firqatunnajia.com/amepoteana-na-mahram-wake-mahali-pa-kurusha-vijiwe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)