Swali: Kuna mtu alijiunga na imamu baada ya kupitwa na Rak´ah mbili. Baada ya imamu kutoa salamu akasimama na kuswali Rak´ah moja na akasahau kuwa alipitwa na Rak´ah mbili. Hakukumbuka isipokuwa baada ya kuisha wakati wa swalah. Analazimika kufanya nini?
Jibu: Arudi kuswali upya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2018
Swali: Kuna mtu alijiunga na imamu baada ya kupitwa na Rak´ah mbili. Baada ya imamu kutoa salamu akasimama na kuswali Rak´ah moja na akasahau kuwa alipitwa na Rak´ah mbili. Hakukumbuka isipokuwa baada ya kuisha wakati wa swalah. Analazimika kufanya nini?
Jibu: Arudi kuswali upya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
Imechapishwa: 16/11/2018
https://firqatunnajia.com/amepitwa-rakah-mbili-na-imamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)