Swali: Mkazi akianza kupangusa juu ya soksi na kukapita kitambo kidogo kisha baadaye akasafiri.
Jibu: Akamilishe kufuta kama mkazi; mchana mmoja na usiku wake. Akisafiri kabla ya kupangusa basi atapangusa kwa muda wa siku tatu. Na kinyume chake; akifika mjini mwake baada ya kukamilisha mchana mmoja na usiku wake basi hatopangusa tena.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21650/حكم-من-مسح-وهو-مقيم-ثم-سافر
- Imechapishwa: 04/09/2022
Swali: Mkazi akianza kupangusa juu ya soksi na kukapita kitambo kidogo kisha baadaye akasafiri.
Jibu: Akamilishe kufuta kama mkazi; mchana mmoja na usiku wake. Akisafiri kabla ya kupangusa basi atapangusa kwa muda wa siku tatu. Na kinyume chake; akifika mjini mwake baada ya kukamilisha mchana mmoja na usiku wake basi hatopangusa tena.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21650/حكم-من-مسح-وهو-مقيم-ثم-سافر
Imechapishwa: 04/09/2022
https://firqatunnajia.com/amepangusa-kama-mkazi-kisha-akasafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)