Swali: Mtu amepata athari ya mkojo kwenye chupi baada ya kuswali swalah nyingi. Je, anapaswa kuzirudi swalah hizo?
Jibu: Hapana, asizirudi. Swalah zake ni sahihi, kwa sababu hakujua juu ya hilo. Lakini aioshe kwa ajili ya huko mbeleni.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
- Imechapishwa: 26/10/2019
Swali: Mtu amepata athari ya mkojo kwenye chupi baada ya kuswali swalah nyingi. Je, anapaswa kuzirudi swalah hizo?
Jibu: Hapana, asizirudi. Swalah zake ni sahihi, kwa sababu hakujua juu ya hilo. Lakini aioshe kwa ajili ya huko mbeleni.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
Imechapishwa: 26/10/2019
https://firqatunnajia.com/ameona-mkojo-kwenye-nguo-baada-ya-swalah-nyingi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)