Swali: Baba yangu aliokota kiwango cha pesa karibu na mlango wa hoteli Haram. Akawauliza walioko pale, lakini hakuna yeyote aliyejua pesa ni za nani. Akarudi ar-Riyaadh akiwa na pesa hizi. Ni lipi la wajibu kwake?
Jibu: Lililo la wajibu kwake ni yeye kuwarudishia pesa hizo wafanyikazi wa hotelini. Mwenye nazo atarudi kuziulizia. Kwa hivyo akawakadhibi nazo wafanyikazi wa hotelini.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
- Imechapishwa: 03/11/2017
Swali: Baba yangu aliokota kiwango cha pesa karibu na mlango wa hoteli Haram. Akawauliza walioko pale, lakini hakuna yeyote aliyejua pesa ni za nani. Akarudi ar-Riyaadh akiwa na pesa hizi. Ni lipi la wajibu kwake?
Jibu: Lililo la wajibu kwake ni yeye kuwarudishia pesa hizo wafanyikazi wa hotelini. Mwenye nazo atarudi kuziulizia. Kwa hivyo akawakadhibi nazo wafanyikazi wa hotelini.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
Imechapishwa: 03/11/2017
https://firqatunnajia.com/ameokota-pesa-kwenye-hoteli-makkah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)