Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusujudu na akanyanyua kichwa chake kutoka kwenye Sujuud kwa kusahau?
Jibu: Ni lazima kwa mtu kuweka [paji la uso] juu ya ardhi mwanzoni mwa kusujudu mpaka mwishoni mwake. Ni lazima vilevile mtu asujudie juu yake mwanzoni mwake na mwishoni mwake. Akisujudu juu yake mwanzoni mwa Sujuud kisha akainuka mwishoni mwake anakuwa amesujudu juu yake. Akisujudu na akatulizana basi kumepatikana kile kinachotakikana.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 24
- Imechapishwa: 17/07/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusujudu na akanyanyua kichwa chake kutoka kwenye Sujuud kwa kusahau?
Jibu: Ni lazima kwa mtu kuweka [paji la uso] juu ya ardhi mwanzoni mwa kusujudu mpaka mwishoni mwake. Ni lazima vilevile mtu asujudie juu yake mwanzoni mwake na mwishoni mwake. Akisujudu juu yake mwanzoni mwa Sujuud kisha akainuka mwishoni mwake anakuwa amesujudu juu yake. Akisujudu na akatulizana basi kumepatikana kile kinachotakikana.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 24
Imechapishwa: 17/07/2018
https://firqatunnajia.com/amenyanyua-kichwa-kutoka-sujuud-kwa-kusahau/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)