Swali: Kuna mtu amenuia kufunga Sha´baan. Katikati ya masiku ya Sha´baan akagonjweka ambapo akaacha kufunga. Mwishoni mwa Sha´baan akafunga. Je, anapata thawabu kwa yale masiku aliyonuia?
Jibu: Kunatarajiwa kwake kupata thawabu kwa yale aliyonuia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mja anaposhikwa na ugonjwa au akasafiri, basi anaandikiwa mfano wa yale aliyokuwa akifanya katika kipindi cha afya yake.”
Ameipokea al-Bukhaariy katika “as-Swahiyh” yake.
Vilevile amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakika kila kitendo kinategemea nia na kila mmoja atalipwa kwa kile alichonuia.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=8&PageNo=1&BookID=12
- Imechapishwa: 18/04/2018
Swali: Kuna mtu amenuia kufunga Sha´baan. Katikati ya masiku ya Sha´baan akagonjweka ambapo akaacha kufunga. Mwishoni mwa Sha´baan akafunga. Je, anapata thawabu kwa yale masiku aliyonuia?
Jibu: Kunatarajiwa kwake kupata thawabu kwa yale aliyonuia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mja anaposhikwa na ugonjwa au akasafiri, basi anaandikiwa mfano wa yale aliyokuwa akifanya katika kipindi cha afya yake.”
Ameipokea al-Bukhaariy katika “as-Swahiyh” yake.
Vilevile amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakika kila kitendo kinategemea nia na kila mmoja atalipwa kwa kile alichonuia.”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=8&PageNo=1&BookID=12
Imechapishwa: 18/04/2018
https://firqatunnajia.com/amenuia-kufunga-shabaan-kisha-akaumwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)