Swali: Kuna mtu alikuwa akilipa deni lake la Ramadhaan katika Shawwaal ya mwaka 1410. Mke wake akajionyesha kwake ambaye alikuwa hakufunga. Mtu huyo hakuweza kuimiliki nafsi yake ambapo akamwingilia.
Jibu: Ni wajibu kwa ambaye amefungua katika isiyokuwa Ramadhaan alipe siku nyingine badala ya siku hiyo aliyoiharibu kwa sababu ya jimaa. Halazimiki kutoa kafara kwa sababu jimaa haikutokea katika Ramadhaan. Ni wajibu kwako kutubu kwa Allaah kutokana na hilo. Kadhalika mke ni wajibu kwake kutubu kutokana na hilo kwa sababu yeye kasababisha kukufunguza.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/319)
- Imechapishwa: 17/06/2017
Swali: Kuna mtu alikuwa akilipa deni lake la Ramadhaan katika Shawwaal ya mwaka 1410. Mke wake akajionyesha kwake ambaye alikuwa hakufunga. Mtu huyo hakuweza kuimiliki nafsi yake ambapo akamwingilia.
Jibu: Ni wajibu kwa ambaye amefungua katika isiyokuwa Ramadhaan alipe siku nyingine badala ya siku hiyo aliyoiharibu kwa sababu ya jimaa. Halazimiki kutoa kafara kwa sababu jimaa haikutokea katika Ramadhaan. Ni wajibu kwako kutubu kwa Allaah kutokana na hilo. Kadhalika mke ni wajibu kwake kutubu kutokana na hilo kwa sababu yeye kasababisha kukufunguza.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/319)
Imechapishwa: 17/06/2017
https://firqatunnajia.com/amemwingilia-mke-wake-siku-aliokuwa-akilipa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)