Swali: Kuna mwanamme amemuahidi mke wake kwamba hatooa mwanamke mwingine juu yake. Baada ya kipindi fulani akahitajia kuoa. Je, anazingatiwa kuwa amevunja ahadi akioa?
Jibu: Anatakiwa kutoa kafara juu ya kiapo chake. Hichi ni kiapo. Ameapa kuwa hatooa juu yake, jambo ambalo alilifanya. Anatakiwa kutoa kafara juu ya kiapo chake. Kuoa ni jambo linalotakikana. Haitakiwi kwake kuendelea kuacha kuoa. Anatakiwa kutoa kafara juu ya kiapo chake na atoe kafara juu ya kiapo chake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (77) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D9%81%D8%AA%D8%AD%20%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AC%D9%8A%D8%AF-25-06-1439.lite__0.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2021
Swali: Kuna mwanamme amemuahidi mke wake kwamba hatooa mwanamke mwingine juu yake. Baada ya kipindi fulani akahitajia kuoa. Je, anazingatiwa kuwa amevunja ahadi akioa?
Jibu: Anatakiwa kutoa kafara juu ya kiapo chake. Hichi ni kiapo. Ameapa kuwa hatooa juu yake, jambo ambalo alilifanya. Anatakiwa kutoa kafara juu ya kiapo chake. Kuoa ni jambo linalotakikana. Haitakiwi kwake kuendelea kuacha kuoa. Anatakiwa kutoa kafara juu ya kiapo chake na atoe kafara juu ya kiapo chake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (77) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D9%81%D8%AA%D8%AD%20%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AC%D9%8A%D8%AF-25-06-1439.lite__0.mp3
Imechapishwa: 12/02/2021
https://firqatunnajia.com/amemuahidi-mke-kwamba-hatooa-mwanamke-mwingine-juu-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)