Swali 994: Kuna mwanamke ambaye hana Mahram na anataka kusafiri kwenda nchini mwake. Akamnyonyesha mwanaume maziwa kwenye kikombe. Je, maziwa haya yanamfanya kuwa Mahram wake?
Jibu: Hayamfanyi kuwa ni Mahram wake. Maziwa yanayofanya uharamu ni yale yanayokuwa ndani ya miaka miwili. Ama kumnyonyesha mtu mkubwa unyonyeshaji huo hauna athari yoyote.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 394
- Imechapishwa: 18/08/2019
Swali 994: Kuna mwanamke ambaye hana Mahram na anataka kusafiri kwenda nchini mwake. Akamnyonyesha mwanaume maziwa kwenye kikombe. Je, maziwa haya yanamfanya kuwa Mahram wake?
Jibu: Hayamfanyi kuwa ni Mahram wake. Maziwa yanayofanya uharamu ni yale yanayokuwa ndani ya miaka miwili. Ama kumnyonyesha mtu mkubwa unyonyeshaji huo hauna athari yoyote.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 394
Imechapishwa: 18/08/2019
https://firqatunnajia.com/amemnyonyesha-mtumzima-ili-awe-mahram-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)