Swali: Mfungaji akisukutua kinywa chake au akapandisha maji puani na maji yakaingia tumboni mwake. Je, swawm yake inaharibika?
Jibu: Hapana, kwa sababu hakukusudia kufanya hivo. Amesema (Ta´ala):
وَلَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ فِيمَا أَخْطَأْتُم بِهِ وَلَـٰكِن مَّا تَعَمَّدَتْ قُلُوبُكُمْ
”Hapana dhambi juu yenu katika yale mliyoyakosea, lakini isipokuwa katika yale yaliyoyakusudia nyoyo zenu.”[1]
[1] 33:05
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/290)
- Imechapishwa: 25/05/2019
Swali: Mfungaji akisukutua kinywa chake au akapandisha maji puani na maji yakaingia tumboni mwake. Je, swawm yake inaharibika?
Jibu: Hapana, kwa sababu hakukusudia kufanya hivo. Amesema (Ta´ala):
وَلَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ فِيمَا أَخْطَأْتُم بِهِ وَلَـٰكِن مَّا تَعَمَّدَتْ قُلُوبُكُمْ
”Hapana dhambi juu yenu katika yale mliyoyakosea, lakini isipokuwa katika yale yaliyoyakusudia nyoyo zenu.”[1]
[1] 33:05
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/290)
Imechapishwa: 25/05/2019
https://firqatunnajia.com/amekunywa-maji-kwa-bahati-mbaya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)