Swali: Nilikuwa nasafiri kwa ndege na nilikuwa na janaba. Sikupata kitu cha kufanyia Tayammum. Matokeo yake swalah ya Dhuhr, ´Aswr na Maghrib zikanipita. Nilipofika al-Madiynah nikaoga janaba ambapo nikawa nimewahi swalah ya ´Ishaa katika mkusanyiko na akasahau kulipa hizo swalah zengine. Kukapita masiku kadhaa ndipo akawa amekumbuka. Ni lipi la wajibu kwake?
Jibu: Anatakiwa azilipe. Ni lazima azilipe. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwenye kusahau swalah au akapitikiwa na usingizi, basi aziswali pale atapokumbuka. Hana kafara nyingine isipokuwa hiyo.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (81) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-1-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 01/04/2018
Swali: Nilikuwa nasafiri kwa ndege na nilikuwa na janaba. Sikupata kitu cha kufanyia Tayammum. Matokeo yake swalah ya Dhuhr, ´Aswr na Maghrib zikanipita. Nilipofika al-Madiynah nikaoga janaba ambapo nikawa nimewahi swalah ya ´Ishaa katika mkusanyiko na akasahau kulipa hizo swalah zengine. Kukapita masiku kadhaa ndipo akawa amekumbuka. Ni lipi la wajibu kwake?
Jibu: Anatakiwa azilipe. Ni lazima azilipe. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwenye kusahau swalah au akapitikiwa na usingizi, basi aziswali pale atapokumbuka. Hana kafara nyingine isipokuwa hiyo.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (81) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-1-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 01/04/2018
https://firqatunnajia.com/amekumbuka-swalah-zilizopita-masiku-kadhaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)