Swali: Nilisafiri katika Ramadhaan na nikala siku mbili ambazo nilinuia kuzifunga. Lakini sikuyakumbuka hayo isipokuwa baada ya kuingia Ramadhaan ya mwaka huu.
Jibu: Uhalisia ikiwa ni kama ulivosema basi huna dhambi kwa kuchelewesha siku mbili ulizokula mpaka kukaingia Ramadhaan nyingine. Unalazimika kuzilipa baada ya hapo. Imethibiti ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema ya kwamba Allaah (Subhaanah) amesema:
“Nimekwishafanya.”[1]
Muslim amepokea katika “as-Swahiyh” yake:
“Atakayesahau na akala au kunywa basi atimize swawm yake. Kwani si vingine ni Allaah ndiye kamlisha na kumnywesha.”[2]
[1] 02:286
[2] al-Bukhaariy (1933), Muslim (1155), at-Tirmidhiy (721) na wengineo.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/336-337)
- Imechapishwa: 18/06/2017
Swali: Nilisafiri katika Ramadhaan na nikala siku mbili ambazo nilinuia kuzifunga. Lakini sikuyakumbuka hayo isipokuwa baada ya kuingia Ramadhaan ya mwaka huu.
Jibu: Uhalisia ikiwa ni kama ulivosema basi huna dhambi kwa kuchelewesha siku mbili ulizokula mpaka kukaingia Ramadhaan nyingine. Unalazimika kuzilipa baada ya hapo. Imethibiti ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema ya kwamba Allaah (Subhaanah) amesema:
“Nimekwishafanya.”[1]
Muslim amepokea katika “as-Swahiyh” yake:
“Atakayesahau na akala au kunywa basi atimize swawm yake. Kwani si vingine ni Allaah ndiye kamlisha na kumnywesha.”[2]
[1] 02:286
[2] al-Bukhaariy (1933), Muslim (1155), at-Tirmidhiy (721) na wengineo.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/336-337)
Imechapishwa: 18/06/2017
https://firqatunnajia.com/amekumbuka-kuwa-ana-deni-la-ramadhaan-baada-ya-kuingia-ramadhaan-nyingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)