Swali: Mwenye kukumbuka baada ya kuswali kuwa alikula nyama ya ngamia ni lazima arudi kuswali?
Jibu: Ndio, kwa kuwa Wudhuu wake umetenguka kwa kula nyama ya ngamia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa:
“Je, mtu atawadhe kwa (kula) nyama ya ngamia?” Akasema: “Ndio.”
Akikumbuka kuwa alikula na hakutawadha baada ya kula nyama ya ngamia anatakiwa kutawadha na kurudi kuswali.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf-1432-07-05.mp3
- Imechapishwa: 24/04/2018
Swali: Mwenye kukumbuka baada ya kuswali kuwa alikula nyama ya ngamia ni lazima arudi kuswali?
Jibu: Ndio, kwa kuwa Wudhuu wake umetenguka kwa kula nyama ya ngamia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa:
“Je, mtu atawadhe kwa (kula) nyama ya ngamia?” Akasema: “Ndio.”
Akikumbuka kuwa alikula na hakutawadha baada ya kula nyama ya ngamia anatakiwa kutawadha na kurudi kuswali.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf-1432-07-05.mp3
Imechapishwa: 24/04/2018
https://firqatunnajia.com/amekumbuka-amekula-nyama-ya-ngamia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)