Swali: Mwenye kusahau nguzo miongoni mwa nguzo za swalah na akaikumbuka baada ya muda mrefu au mfupi, afanye nini?
Jibu: Akiikumbuka karibuni, ni sawa na kuacha Rak´ah nzima. Hivyo, asimame na kuleta Rak´ah hiyo moja na asujudu Sujuud-us-Sahuw. Ama akiikumbuka baada ya muda mwingi au Wudhuu wake ukatanguka, arudi swalah kuanzia mwanzo wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (43) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-03-17.MP3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Mwenye kusahau nguzo miongoni mwa nguzo za swalah na akaikumbuka baada ya muda mrefu au mfupi, afanye nini?
Jibu: Akiikumbuka karibuni, ni sawa na kuacha Rak´ah nzima. Hivyo, asimame na kuleta Rak´ah hiyo moja na asujudu Sujuud-us-Sahuw. Ama akiikumbuka baada ya muda mwingi au Wudhuu wake ukatanguka, arudi swalah kuanzia mwanzo wake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (43) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-03-17.MP3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/amekumbuka-ameacha-nguzo-baada-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)