Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuacha jambo la wajibu miongoni mwa mambo ya wajibu katika Swalah ikiwa ni kwa wakati wa karibu tu na vipi ikiwa kumeshapita wakati mrefu?
Jibu: Akiacha jambo la wajibu miongoni mwa mambo ya wajibu kwa sahau, asujudu Sujuud-us-Sahuw. Ikiwa ameshatoa Salaam, basi asujudu baada ya kutoa Salaam. Isipokuwa ikiwa kama Wudhuu wake utakatika baada ya kutoa Salaam au kumeshapita muda mrefu, katika hali hii Sujuud-us-Sahuw kwake imebomoka (hana Sujuud-us-Sahuw).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (45) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-03-24_0.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuacha jambo la wajibu miongoni mwa mambo ya wajibu katika Swalah ikiwa ni kwa wakati wa karibu tu na vipi ikiwa kumeshapita wakati mrefu?
Jibu: Akiacha jambo la wajibu miongoni mwa mambo ya wajibu kwa sahau, asujudu Sujuud-us-Sahuw. Ikiwa ameshatoa Salaam, basi asujudu baada ya kutoa Salaam. Isipokuwa ikiwa kama Wudhuu wake utakatika baada ya kutoa Salaam au kumeshapita muda mrefu, katika hali hii Sujuud-us-Sahuw kwake imebomoka (hana Sujuud-us-Sahuw).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (45) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-03-24_0.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/amekumbuka-ameacha-jambo-la-wajibu-baada-ya-swalah__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)