Swali: Mtu akifunga swawm ya sunnah kisha akala kwa kusahau. Je, akamilishe swawm yake?
Jibu: Ndio. Akamilishe swawm yake. Kusahau kumepewa udhuru. Inahusiana na swawm ya faradhi na ya sunnah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 17/09/2017
Swali: Mtu akifunga swawm ya sunnah kisha akala kwa kusahau. Je, akamilishe swawm yake?
Jibu: Ndio. Akamilishe swawm yake. Kusahau kumepewa udhuru. Inahusiana na swawm ya faradhi na ya sunnah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
Imechapishwa: 17/09/2017
https://firqatunnajia.com/amekula-kwa-kusahau-katika-swawm-ya-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)