Swali: Kuna mtu alikuwa akitambulika kutamka maneno ya kikafiri. Abainishiwa hoja halafu akafa pamoja na kwamba anajulikana kwa maneno mengine yanayopingana na yale maneno yaliyosemwa juu yake ya kikafiri. Je, kusemwe kuwa alikufa na pengine alitubia kwa Allaah (Ta´ala) kabla kufa kwake au ahukumiwe kwa dhahiri?
Jibu: Anazingatiwa kuwa ni muislamu kama wengine midhali kumepokelewa kutoka kwake maneno yanayoweza kueleweka hivi na vile. Kimsingi huyu ni muislamu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
- Imechapishwa: 23/01/2018
Swali: Kuna mtu alikuwa akitambulika kutamka maneno ya kikafiri. Abainishiwa hoja halafu akafa pamoja na kwamba anajulikana kwa maneno mengine yanayopingana na yale maneno yaliyosemwa juu yake ya kikafiri. Je, kusemwe kuwa alikufa na pengine alitubia kwa Allaah (Ta´ala) kabla kufa kwake au ahukumiwe kwa dhahiri?
Jibu: Anazingatiwa kuwa ni muislamu kama wengine midhali kumepokelewa kutoka kwake maneno yanayoweza kueleweka hivi na vile. Kimsingi huyu ni muislamu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
Imechapishwa: 23/01/2018
https://firqatunnajia.com/amekufa-baada-ya-kutambulika-kutamka-maneno-ya-kufuru/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)