Swali: Mwanamke akisafika kutokana na hedhi au damu ya uzazi maeneo ambapo hawezi kuoga kama vile sokoni au shuleni – je, inafaa kwake kufanya Tayammum?
Jibu: Hapana. Asifanye Tayammum. Wakati ni mpana. Wakati wa Dhuhr, ´Aswr, Maghrib na ´Ishaa ni mpana. Aoge nyumbani na aswali.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Khaatam-ul-Mursaliyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-10/lqa-mftoh-godian.mp3
- Imechapishwa: 29/09/2022
Swali: Mwanamke akisafika kutokana na hedhi au damu ya uzazi maeneo ambapo hawezi kuoga kama vile sokoni au shuleni – je, inafaa kwake kufanya Tayammum?
Jibu: Hapana. Asifanye Tayammum. Wakati ni mpana. Wakati wa Dhuhr, ´Aswr, Maghrib na ´Ishaa ni mpana. Aoge nyumbani na aswali.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Khaatam-ul-Mursaliyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-10/lqa-mftoh-godian.mp3
Imechapishwa: 29/09/2022
https://firqatunnajia.com/amekosa-maji-baada-ya-kutwahirika-na-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)