Swali: Mimi ni kijana niliyeoa. Nilichuua mkopo wa Riyaal 1000 na baadaye nirudishe Riyaal 1050 kwa ajili ya kutoa mahari pamoja na kuzingatia kwamba nina watoto. Ni ipi hukumu ya ndoa yangu? Ni kipi cha wajibu ninachotakiwa kufanya?
Jibu: Kuhusu ndoa ni sahihi midhali imetimiza masharti yake. Kuhusu kukopa Riyaal 1000 na baadaye kurudisha Riyaal 1050 ni ribaa. Ni haramu. Ni wajibu kwako kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall) kutokana na ulichokifanya. Ikiwa tayari ameshamlipa mwenye deni lake, basi ni wajibu kwake kutubia na aazimie kutorudi kufanya kitu kama hicho. Ama ikiwa bado hajamlipa ile ribaa mwenye nayo, basi anatakiwa kurudi na kupata na mpokeaji wa ribaa hiyo. Akirudi mahakamani basi mahakama wana maoni yaliyo na kheri ndani yake – Allaah akitaka.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (48) http://binothaimeen.net/content/1110
- Imechapishwa: 11/04/2019
Swali: Mimi ni kijana niliyeoa. Nilichuua mkopo wa Riyaal 1000 na baadaye nirudishe Riyaal 1050 kwa ajili ya kutoa mahari pamoja na kuzingatia kwamba nina watoto. Ni ipi hukumu ya ndoa yangu? Ni kipi cha wajibu ninachotakiwa kufanya?
Jibu: Kuhusu ndoa ni sahihi midhali imetimiza masharti yake. Kuhusu kukopa Riyaal 1000 na baadaye kurudisha Riyaal 1050 ni ribaa. Ni haramu. Ni wajibu kwako kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall) kutokana na ulichokifanya. Ikiwa tayari ameshamlipa mwenye deni lake, basi ni wajibu kwake kutubia na aazimie kutorudi kufanya kitu kama hicho. Ama ikiwa bado hajamlipa ile ribaa mwenye nayo, basi anatakiwa kurudi na kupata na mpokeaji wa ribaa hiyo. Akirudi mahakamani basi mahakama wana maoni yaliyo na kheri ndani yake – Allaah akitaka.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (48) http://binothaimeen.net/content/1110
Imechapishwa: 11/04/2019
https://firqatunnajia.com/amekopa-mkopo-wa-ribaa-kwa-ajili-ya-kuoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)