Swali 845: Kuna mwanaume aligombana pamoja na mkewe ugomvi mkubwa kabisa kwa kiasi cha kwamba akili yake ilibadilika ambapo akasema kumwambia mke wake: “Wewe nimekutaliki mara tatu”. Je, talaka imepita?
Jibu: Hali ikifikia kiasi cha kwamba haelewi kile anachokisema haipiti. Allaah ndiye mjuzi zaidi.
- Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 336
- Imechapishwa: 17/08/2019
Swali 845: Kuna mwanaume aligombana pamoja na mkewe ugomvi mkubwa kabisa kwa kiasi cha kwamba akili yake ilibadilika ambapo akasema kumwambia mke wake: “Wewe nimekutaliki mara tatu”. Je, talaka imepita?
Jibu: Hali ikifikia kiasi cha kwamba haelewi kile anachokisema haipiti. Allaah ndiye mjuzi zaidi.
Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 336
Imechapishwa: 17/08/2019
https://firqatunnajia.com/amekasirika-akatoa-talaka-bila-kutambua-anachokisema/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)