Swali 850: Kuna mtu amejiharamishia kila kitu anachokimiliki. Je, mke wake anaharamika au hapana?
Jibu: Ama mbali na mke anatakiwa kutoa kafara ya yamini. Kuhusu mke wanachuoni wametofautiana kama ameachika na ni lazima kwake kutoa kafara ya kumfananisha mke na mama yake. Maalik anaona kuwa talaka imepita. Abu Haniyfah na ash-Shafi´iy katika maoni yaliyotangaa zaidi kwake wanaona kuwa anapaswa kutoa kafara ya yamini. Ahmad anaona kuwa analazimika kutoa kafara ya kumfananisha mke na mama isipokuwa ikiwa kama atanuia kinyume na hivo. Kwa hivyo ni jambo wanachuoni wametofautiana juu yake.
- Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 337
- Imechapishwa: 18/08/2019
Swali 850: Kuna mtu amejiharamishia kila kitu anachokimiliki. Je, mke wake anaharamika au hapana?
Jibu: Ama mbali na mke anatakiwa kutoa kafara ya yamini. Kuhusu mke wanachuoni wametofautiana kama ameachika na ni lazima kwake kutoa kafara ya kumfananisha mke na mama yake. Maalik anaona kuwa talaka imepita. Abu Haniyfah na ash-Shafi´iy katika maoni yaliyotangaa zaidi kwake wanaona kuwa anapaswa kutoa kafara ya yamini. Ahmad anaona kuwa analazimika kutoa kafara ya kumfananisha mke na mama isipokuwa ikiwa kama atanuia kinyume na hivo. Kwa hivyo ni jambo wanachuoni wametofautiana juu yake.
Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 337
Imechapishwa: 18/08/2019
https://firqatunnajia.com/amejiharamishia-kila-anachomiliki-je-mke-ameingia-ndani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)