662- Nilisema kumwambia Ahmad: “Mtu ambaye ana mazowea ya kufunga na kufungua siku ya kufuatia ambapo ikaangukia siku ya ijumaa. Ni ipi hukumu ya hiko?” Akajibu: “Haina neno. Kilichochukizwa ni kukusudia kufunga siku ya ijumaa.” Nikasema: “Akifunga siku ya shaka kimakosa?” Akajibu: “Nataraji ni sawa muda wa kuwa hakukusudia kufunga siku ya shaka.”
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 137
- Imechapishwa: 26/03/2021
662- Nilisema kumwambia Ahmad: “Mtu ambaye ana mazowea ya kufunga na kufungua siku ya kufuatia ambapo ikaangukia siku ya ijumaa. Ni ipi hukumu ya hiko?” Akajibu: “Haina neno. Kilichochukizwa ni kukusudia kufunga siku ya ijumaa.” Nikasema: “Akifunga siku ya shaka kimakosa?” Akajibu: “Nataraji ni sawa muda wa kuwa hakukusudia kufunga siku ya shaka.”
Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 137
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/amefunga-kimakosa-ijumaa-na-siku-ya-shaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)