Swali: Afanye nini mtu ambaye ameswali kisha baada ya swalah ikabainika kwamba yuko na hadathi inayowajibisha kuoga?
Jibu: Kila mtu anayeswali kisha baada ya kumaliza kuswali ikambainikia kuwa yuko na hadathi kubwa au hadathi ndogo, italazimika kwake kujitwahirisha kutokamana na hadathi hii na arudi kuiswali swalah yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah haikubali swalah bila twahara.”[1]
[1] Muslim.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 299
- Imechapishwa: 05/05/2020
Swali: Afanye nini mtu ambaye ameswali kisha baada ya swalah ikabainika kwamba yuko na hadathi inayowajibisha kuoga?
Jibu: Kila mtu anayeswali kisha baada ya kumaliza kuswali ikambainikia kuwa yuko na hadathi kubwa au hadathi ndogo, italazimika kwake kujitwahirisha kutokamana na hadathi hii na arudi kuiswali swalah yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah haikubali swalah bila twahara.”[1]
[1] Muslim.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 299
Imechapishwa: 05/05/2020
https://firqatunnajia.com/amebaini-kuwa-na-hadathi-baada-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)