Swali: Miaka mingi ya nyuma nilihiji nikiwa na watoto wachanga wawili. Kwa sababu ya msongamano mkubwa kwenye Twawaaf-ul-Ifaadhwah nikachelea juu ya wana wangu wawili hawa ambapo sikukamilisha Twawaaf yangu na hivyo hajj yao haikutimia, pamoja na kwamba nilhirimia nao hajj. Je, kuna kinachonilazimu?
Jibu: Ni lazima ukamilisha hajj. Rudi ukakamilisha hajj. Ikiwa walikosa Twawaaf-ul-Ifaadhwah na Sa´y, rudi na ufanye mambo hayo mawili. Hapo hajj yao itakuwa imetimia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (20) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-6-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 25/01/2020
Swali: Miaka mingi ya nyuma nilihiji nikiwa na watoto wachanga wawili. Kwa sababu ya msongamano mkubwa kwenye Twawaaf-ul-Ifaadhwah nikachelea juu ya wana wangu wawili hawa ambapo sikukamilisha Twawaaf yangu na hivyo hajj yao haikutimia, pamoja na kwamba nilhirimia nao hajj. Je, kuna kinachonilazimu?
Jibu: Ni lazima ukamilisha hajj. Rudi ukakamilisha hajj. Ikiwa walikosa Twawaaf-ul-Ifaadhwah na Sa´y, rudi na ufanye mambo hayo mawili. Hapo hajj yao itakuwa imetimia.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (20) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-6-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 25/01/2020
https://firqatunnajia.com/ameacha-twawaaf-na-watoto-wachanga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)