Swali: Ni ipi hukumu ya wale ambao hawakufikiwa na Da´wah mpaka hii leo?
Jibu: Hao sio waislamu wala sio makafiri. Jambo lao liko kwa Allaah. Wao ni katika Ahl-ul-Fatrah.
Swali: Lakini ikiwa anaishi kati ya waislamu?
Jibu: Ambaye amefikiwa na Uislamu hatopewa mtihani. Hoja imekwishamsimamia kwa Qur-aan na Sunnah. Lakini jambo lake liko kwa Allaah.
Swali: Hivi leo wako watu ambao wanakufa na hawakufikiwa na Da´wah?
Jibu: Ndio, wako katika baadhi ya sehemu za Afrika na kwenginepo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-is-Shubuhaat, uk. 124
- Imechapishwa: 25/08/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya wale ambao hawakufikiwa na Da´wah mpaka hii leo?
Jibu: Hao sio waislamu wala sio makafiri. Jambo lao liko kwa Allaah. Wao ni katika Ahl-ul-Fatrah.
Swali: Lakini ikiwa anaishi kati ya waislamu?
Jibu: Ambaye amefikiwa na Uislamu hatopewa mtihani. Hoja imekwishamsimamia kwa Qur-aan na Sunnah. Lakini jambo lake liko kwa Allaah.
Swali: Hivi leo wako watu ambao wanakufa na hawakufikiwa na Da´wah?
Jibu: Ndio, wako katika baadhi ya sehemu za Afrika na kwenginepo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-is-Shubuhaat, uk. 124
Imechapishwa: 25/08/2019
https://firqatunnajia.com/ambao-hawakufikiwa-na-dawah-mpaka-hii-leo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)