Swali: Mtu akinipa amana sawa na kiwango cha kununua bidhaa kisha baadaye asiinunue. Je, ni wajibu kwangu kumrudishia amana hii?
Jibu: Ikiwa biashara hiyo ina khiyari kisha mnunuzi akaacha kununua baada ya kukupatia amana, amana hiyo ni yako. Amana inachukua nafasi ya kuzuiliwa bidhaa ile kutokamana na wateja.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2018
Swali: Mtu akinipa amana sawa na kiwango cha kununua bidhaa kisha baadaye asiinunue. Je, ni wajibu kwangu kumrudishia amana hii?
Jibu: Ikiwa biashara hiyo ina khiyari kisha mnunuzi akaacha kununua baada ya kukupatia amana, amana hiyo ni yako. Amana inachukua nafasi ya kuzuiliwa bidhaa ile kutokamana na wateja.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2018
https://firqatunnajia.com/amana-ni-yako/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)