Swali: Naweza kusema kuwa Allaah ni rafiki yangu (صديقي)?
Jibu: Hapana. Haijuzu. Marafiki ni viumbe. Allaah hasifiwi kuwa ni rafiki. Anasifiwa kuwa ni Mola, Mungu na muabudiwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
- Imechapishwa: 02/06/2018
Swali: Naweza kusema kuwa Allaah ni rafiki yangu (صديقي)?
Jibu: Hapana. Haijuzu. Marafiki ni viumbe. Allaah hasifiwi kuwa ni rafiki. Anasifiwa kuwa ni Mola, Mungu na muabudiwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
Imechapishwa: 02/06/2018
https://firqatunnajia.com/allaah-rafiki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)