Kuhusu kumzulia kwao uongo Allaah, Mitume Yake, Manabii Yake na kumtuhumu Mola wa walimwengu na Mitume Yake kwa mambo makubwa wamefanya kwa wingi sana. Moja katika mambo hayo ni pale waliposema kuwa Allaah alipumzika ile siku ya saba baada ya kumaliza kuumba mbingu na ardhi. Ndipo Allaah akateremsha maneno Yake (Ta´ala) hali ya kuwa ni mwenye kuwakadhibisha pale aliposema:
وَلَقَدْ خَلَقْنَا السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا فِي سِتَّةِ أَيَّامٍ وَمَا مَسَّنَا مِن لُّغُوبٍ
“Hakika Tumeumba mbingu na ardhi na vilivyo kati yake katika siku sita na wala hatukuguswa na uchovu wowote.” (50:38)
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn bin Qayyim-il-Jawziyyah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Hidaayat-ul-Hayaaraa (02/417-418)
- Imechapishwa: 01/04/2020
Kuhusu kumzulia kwao uongo Allaah, Mitume Yake, Manabii Yake na kumtuhumu Mola wa walimwengu na Mitume Yake kwa mambo makubwa wamefanya kwa wingi sana. Moja katika mambo hayo ni pale waliposema kuwa Allaah alipumzika ile siku ya saba baada ya kumaliza kuumba mbingu na ardhi. Ndipo Allaah akateremsha maneno Yake (Ta´ala) hali ya kuwa ni mwenye kuwakadhibisha pale aliposema:
وَلَقَدْ خَلَقْنَا السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا فِي سِتَّةِ أَيَّامٍ وَمَا مَسَّنَا مِن لُّغُوبٍ
“Hakika Tumeumba mbingu na ardhi na vilivyo kati yake katika siku sita na wala hatukuguswa na uchovu wowote.” (50:38)
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn bin Qayyim-il-Jawziyyah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Hidaayat-ul-Hayaaraa (02/417-418)
Imechapishwa: 01/04/2020
https://firqatunnajia.com/allaah-hasifiwi-kuchoka-kama-wanavosema-wakristo-na-mayahudi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)