Swali: Mke wangu yuko kwenye nchi yangu na siwezi kwenda kumleta kwa sababu ya matatizo ya kipesa. Nitazingatiwa ni mwenye kumdhulumu mke wangu endapo nitaoa hapa kwa sababu ya kuihifadhi heshima yangu?
Jibu: Hapana. Una haki ya kuoa wake wane:
مَثْنَىٰ وَثُلَاثَ وَرُبَاعَ
“… wawili au watatu au wanne.”[1]
Allaah akupe nguvu.
[1] 04:03
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd14-07-%201438.mp3
- Imechapishwa: 06/08/2017
Swali: Mke wangu yuko kwenye nchi yangu na siwezi kwenda kumleta kwa sababu ya matatizo ya kipesa. Nitazingatiwa ni mwenye kumdhulumu mke wangu endapo nitaoa hapa kwa sababu ya kuihifadhi heshima yangu?
Jibu: Hapana. Una haki ya kuoa wake wane:
مَثْنَىٰ وَثُلَاثَ وَرُبَاعَ
“… wawili au watatu au wanne.”[1]
Allaah akupe nguvu.
[1] 04:03
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd14-07-%201438.mp3
Imechapishwa: 06/08/2017
https://firqatunnajia.com/allaah-aupe-nguvu-ukewenza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)