Swali: Je, ni sahihi kumsifia Allaah ya kwamba Yuko katika upande wa juu?
Jibu: Ndio. Tunatakiwa kuamini hivi na sio kumsifia tu. Tuamini hili ya kwamba Allaah Yuko katika upande wa juu. Lakini hata hivyo sio katika upande ulioumbwa. Kusema “Yuko mbinguni” haina maana Yuko ndani ya mbingu (saba) au mbingu zinambeba na kumzuia. Kusema “Yuko mbinguni” maana yake juu, kwa kuwa neno “mbingu” husemwa kwa kukusudia juu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (63) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13810
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, ni sahihi kumsifia Allaah ya kwamba Yuko katika upande wa juu?
Jibu: Ndio. Tunatakiwa kuamini hivi na sio kumsifia tu. Tuamini hili ya kwamba Allaah Yuko katika upande wa juu. Lakini hata hivyo sio katika upande ulioumbwa. Kusema “Yuko mbinguni” haina maana Yuko ndani ya mbingu (saba) au mbingu zinambeba na kumzuia. Kusema “Yuko mbinguni” maana yake juu, kwa kuwa neno “mbingu” husemwa kwa kukusudia juu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (63) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13810
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/allaah-anasifiwa-kuwa-katika-upande-upi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)