Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
30- Abu Tha’labah al-Khushaniy Jurthuum bin Naashir (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (Ta´ala) amefaridhisha faradhi basi msiyapuuze. Vilevile akaweka mipaka msiivuke. Ameharamisha baadhi ya mambo kwa hivyo usifanye. Kuhusu yale aliyoyanyamazia ni kwa ajili ya huruma Yake kwenu – na si kwamba ameyasahau – kwa hivyo usiyadadisi.”
Wamekosea katika hili wale waliosema kuwa neno hili linatolea dalili ya kuthibitisha sifa ya kunyamaza kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa). Ni miongoni mwa mambo ambayo hayakuthibiti katika maandiko ya Salaf. Hadiyth hii na mfano wake zinazofahamisha kwamba kunyamaza ni sifa.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 424
- Imechapishwa: 13/05/2020
Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
30- Abu Tha’labah al-Khushaniy Jurthuum bin Naashir (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (Ta´ala) amefaridhisha faradhi basi msiyapuuze. Vilevile akaweka mipaka msiivuke. Ameharamisha baadhi ya mambo kwa hivyo usifanye. Kuhusu yale aliyoyanyamazia ni kwa ajili ya huruma Yake kwenu – na si kwamba ameyasahau – kwa hivyo usiyadadisi.”
Wamekosea katika hili wale waliosema kuwa neno hili linatolea dalili ya kuthibitisha sifa ya kunyamaza kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa). Ni miongoni mwa mambo ambayo hayakuthibiti katika maandiko ya Salaf. Hadiyth hii na mfano wake zinazofahamisha kwamba kunyamaza ni sifa.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 424
Imechapishwa: 13/05/2020
https://firqatunnajia.com/allaah-anasifika-na-sifa-ya-kunyamaza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)