Swali: Kuna yeyote katika Ahl-us-Sunnah aliyemthibitishia Allaah kuwa na Sifa ya harakati?
Jibu: Enyi ndugu zangu! Kwa nini mnapekua mambo haya? Hakukuthibiti neno harakati si kwenye Qur-aan wala Sunnah. Sisi hatusemi juu ya Allaah isipokuwa yaliyothibiti kwenye Qur-aan au Sunnah. Acheni mambo haya. Kitu ambacho hakikuja katika Qur-aan na Sunnah kiacheni.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_02.mp3
- Imechapishwa: 03/07/2018
Swali: Kuna yeyote katika Ahl-us-Sunnah aliyemthibitishia Allaah kuwa na Sifa ya harakati?
Jibu: Enyi ndugu zangu! Kwa nini mnapekua mambo haya? Hakukuthibiti neno harakati si kwenye Qur-aan wala Sunnah. Sisi hatusemi juu ya Allaah isipokuwa yaliyothibiti kwenye Qur-aan au Sunnah. Acheni mambo haya. Kitu ambacho hakikuja katika Qur-aan na Sunnah kiacheni.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_02.mp3
Imechapishwa: 03/07/2018
https://firqatunnajia.com/allaah-anasifika-kufanya-harakati/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)