Swali: Je, inajuzu kwangu kuoa mke wa pili kwa ajili ya sababu ya kidunia kama kwa mfano kwa ajili ya kujisahilishia kubaki katika mji fulani?
Jibu: Ndugu! Kuongeza mke wa pili, wa tatu na wa nne inajuzu. Allaah amemhalalishia. Kwa sharti ya kutimiza uadilifu kati ya wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15216
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Je, inajuzu kwangu kuoa mke wa pili kwa ajili ya sababu ya kidunia kama kwa mfano kwa ajili ya kujisahilishia kubaki katika mji fulani?
Jibu: Ndugu! Kuongeza mke wa pili, wa tatu na wa nne inajuzu. Allaah amemhalalishia. Kwa sharti ya kutimiza uadilifu kati ya wake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15216
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/allaah-amemruhusu-mume-kuoa-hadi-wake-wane/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)