Swali: Baadhi ya watu wanasema kwamba hawakuwa wakweli kwa Allaah na pindi baadhi watu wanapowalingania kufanya matendo mema wanasema kuwa Allaah amewaongoza wao na hakumwongoza yeye.
Jibu: Hili ni batili. Ni kujengea hoja kwa Qadar. Mtu anatakiwa kumwambia yule anayemlingania katika uongofu:
جزاك الله خيراً
“Allaah akujaze kheri.”
Amwahidi kheri na kwamba Allah akimjaalia atafanya na atapambana na nafsi yake. Ama kutumia hoja kwa Qadar haifai kwake kufanya hivo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
- Imechapishwa: 26/06/2021
Swali: Baadhi ya watu wanasema kwamba hawakuwa wakweli kwa Allaah na pindi baadhi watu wanapowalingania kufanya matendo mema wanasema kuwa Allaah amewaongoza wao na hakumwongoza yeye.
Jibu: Hili ni batili. Ni kujengea hoja kwa Qadar. Mtu anatakiwa kumwambia yule anayemlingania katika uongofu:
جزاك الله خيراً
“Allaah akujaze kheri.”
Amwahidi kheri na kwamba Allah akimjaalia atafanya na atapambana na nafsi yake. Ama kutumia hoja kwa Qadar haifai kwake kufanya hivo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
Imechapishwa: 26/06/2021
https://firqatunnajia.com/allaah-amekuongoza-wewe-na-hakuniongoza-mimi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)