Swali: Baadhi ya waabudu makaburi au washirikina wa leo wanafupiza ´ibaadah katika swalah pekee na kwa ajili hiyo hawaswali kwa ajili ya mwengine asiyekuwa Allaah ingawa watawafanyia mengine kama vile kuchinja, kuomba du´aa na kutaka uokozi.
Jibu: Haya ni kutokana na ujinga wao. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَقَضَىٰ رَبُّكَ أَلَّا تَعْبُدُوا إِلَّا إِيَّاهُ
“Mola wako ameamuru kwamba: “Msiabudu isipokuwa Yeye pekee.”[1]
فَإِيَّايَ فَارْهَبُونِ
“Basi Mimi tu pekee niogopeni.”[2]
فَإِيَّايَ فَاعْبُدُونِ
”Basi Mimi tu pekee niabuduni.”[3]
يَا أَيُّهَا النَّاسُ اعْبُدُوا رَبَّكُمُ
”Enyi watu! Mwabuduni Mola wenu”[4]
Hakufanya ´ibaadah ikawa maalum katika swalah pekee. Amesema:
وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ
“Sikuumba majini na watu isipokuwa waniabudu.”[5]
ادْعُوا رَبَّكُمْ تَضَرُّعًا وَخُفْيَةً ۚ إِنَّهُ لَا يُحِبُّ الْمُعْتَدِينَ
“Muombeni Mola wenu kwa unyenyekevu na kwa siri, hakika Yeye hawapendi wenye kuvuka mipaka.”[6]
[1] 17:23
[2] 16:51
[3] 29:56
[4] 02:21
[5] 51:56
[6] 07:55
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 56
- Imechapishwa: 23/06/2019
Swali: Baadhi ya waabudu makaburi au washirikina wa leo wanafupiza ´ibaadah katika swalah pekee na kwa ajili hiyo hawaswali kwa ajili ya mwengine asiyekuwa Allaah ingawa watawafanyia mengine kama vile kuchinja, kuomba du´aa na kutaka uokozi.
Jibu: Haya ni kutokana na ujinga wao. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَقَضَىٰ رَبُّكَ أَلَّا تَعْبُدُوا إِلَّا إِيَّاهُ
“Mola wako ameamuru kwamba: “Msiabudu isipokuwa Yeye pekee.”[1]
فَإِيَّايَ فَارْهَبُونِ
“Basi Mimi tu pekee niogopeni.”[2]
فَإِيَّايَ فَاعْبُدُونِ
”Basi Mimi tu pekee niabuduni.”[3]
يَا أَيُّهَا النَّاسُ اعْبُدُوا رَبَّكُمُ
”Enyi watu! Mwabuduni Mola wenu”[4]
Hakufanya ´ibaadah ikawa maalum katika swalah pekee. Amesema:
وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ
“Sikuumba majini na watu isipokuwa waniabudu.”[5]
ادْعُوا رَبَّكُمْ تَضَرُّعًا وَخُفْيَةً ۚ إِنَّهُ لَا يُحِبُّ الْمُعْتَدِينَ
“Muombeni Mola wenu kwa unyenyekevu na kwa siri, hakika Yeye hawapendi wenye kuvuka mipaka.”[6]
[1] 17:23
[2] 16:51
[3] 29:56
[4] 02:21
[5] 51:56
[6] 07:55
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 56
Imechapishwa: 23/06/2019
https://firqatunnajia.com/allaah-ameamrisha-aabudiwe-yeye-pekee/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)