Swali: Imamu akizidisha Rak´ah moja na mimi nikapitwa na Rak´ah moja niilipe pamoja naye au nitoe salamu?
Jibu: Imamu akizidisha Rak´ah basi haijuzu kumfuata. Ni lazima kwa maalum kumzindua na yule mwenye kujua hilo aseme “Subhaan Allaah.” Akirudi ni sawa. Vinginevyo mswaliji akae chini mpaka pale atapotoa salamu pamoja naye. Aliyekuja amechelewa akijua kuwa ni Rak´ah yenye kuzidi basi asimfuate. Baada ya hapo ndio aswali Rak´ah nyingine moja.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 16/08/2019
Swali: Imamu akizidisha Rak´ah moja na mimi nikapitwa na Rak´ah moja niilipe pamoja naye au nitoe salamu?
Jibu: Imamu akizidisha Rak´ah basi haijuzu kumfuata. Ni lazima kwa maalum kumzindua na yule mwenye kujua hilo aseme “Subhaan Allaah.” Akirudi ni sawa. Vinginevyo mswaliji akae chini mpaka pale atapotoa salamu pamoja naye. Aliyekuja amechelewa akijua kuwa ni Rak´ah yenye kuzidi basi asimfuate. Baada ya hapo ndio aswali Rak´ah nyingine moja.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
Imechapishwa: 16/08/2019
https://firqatunnajia.com/aliyekuja-amechelewa-asimfuate-imamu-katika-rakah-aliyozidisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)