Swali: Je, mtu ambaye amefanyiwa uchawi anapewa udhuru katika matendo yake yote kama kufanya machafu na kuacha swalah ya mkusanyiko na Fajr?
Jibu: Maadamu yuko na akili zake timamu anahesabiwa kwa matendo yake yote. Ama akili zake zikimtoka na akawa kama mwendawazimu asiyekuwa na akili huyu hahesabiwi. Isipokuwa katika mambo anayoharibu; akiua mtu na akiharibu mali za watu anatakiwa kulipa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13965
- Imechapishwa: 13/04/2018
Swali: Je, mtu ambaye amefanyiwa uchawi anapewa udhuru katika matendo yake yote kama kufanya machafu na kuacha swalah ya mkusanyiko na Fajr?
Jibu: Maadamu yuko na akili zake timamu anahesabiwa kwa matendo yake yote. Ama akili zake zikimtoka na akawa kama mwendawazimu asiyekuwa na akili huyu hahesabiwi. Isipokuwa katika mambo anayoharibu; akiua mtu na akiharibu mali za watu anatakiwa kulipa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13965
Imechapishwa: 13/04/2018
https://firqatunnajia.com/aliyefanyiwa-uchawi-haandikiwi-dhambi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)