Swali: Mtu akiacha baadhi ya swalah za faradhi kisha baadaye akatubia. Je, ni lazima kwake kuzilipa?
Jibu: Akiziacha kwa kukusudia hatakiwi kuzilipa. Hakuna dalili ya kwamba anatakiwa kuzilipa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atayepitikiwa na usingizi kwa swalah au akasahau basi aiswali pale atapokumbuka.”
Ni dalili inayothibitisha kuwa yule mwenye kuiacha kwa kukusudia hatakiwi kuilipa. Lakini anatakiwa kutubia kwa Allaah na ahifadhi swalah. Kwa sababu kule kuacha kwake kwa kukusudia amekufuru. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ahadi iliyopo kati yetu sisi na wao ni swalah. Hivyo basi yule mwenye kuiacha amekufuru.”[1]
[1] at-Tirmidhiy (2621), an-Nasaa’iy (463) na Ibn Maajah (1079). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (71) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah26-07-1438h%20-%20Copy.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2017
Swali: Mtu akiacha baadhi ya swalah za faradhi kisha baadaye akatubia. Je, ni lazima kwake kuzilipa?
Jibu: Akiziacha kwa kukusudia hatakiwi kuzilipa. Hakuna dalili ya kwamba anatakiwa kuzilipa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atayepitikiwa na usingizi kwa swalah au akasahau basi aiswali pale atapokumbuka.”
Ni dalili inayothibitisha kuwa yule mwenye kuiacha kwa kukusudia hatakiwi kuilipa. Lakini anatakiwa kutubia kwa Allaah na ahifadhi swalah. Kwa sababu kule kuacha kwake kwa kukusudia amekufuru. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ahadi iliyopo kati yetu sisi na wao ni swalah. Hivyo basi yule mwenye kuiacha amekufuru.”[1]
[1] at-Tirmidhiy (2621), an-Nasaa’iy (463) na Ibn Maajah (1079). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (71) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah26-07-1438h%20-%20Copy.mp3
Imechapishwa: 19/08/2017
https://firqatunnajia.com/alipe-swalah-zake-zilizompita/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)