Swali: Kuna mwanamke alikuwa na dhahabu na wala hatoi Zakaah kwa kutokujua. Na kwa sasa hakubaki na kitu. Je, ni juu yake kutoa Zakaah sasa au afanye nini?
Jibu: Ndio. Ni wajibu kwake kutoa Zakaah ikiwa yuko na uwezo wa kufanya hivyo, la sivyo itabaki juu ya dhimmah yake. Kwa kuwa hii ni haki ya mafukara. Huu ndio wajibu wake.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://olamayemen.net/default_ar.aspx?id=662
- Imechapishwa: 08/03/2018
Swali: Kuna mwanamke alikuwa na dhahabu na wala hatoi Zakaah kwa kutokujua. Na kwa sasa hakubaki na kitu. Je, ni juu yake kutoa Zakaah sasa au afanye nini?
Jibu: Ndio. Ni wajibu kwake kutoa Zakaah ikiwa yuko na uwezo wa kufanya hivyo, la sivyo itabaki juu ya dhimmah yake. Kwa kuwa hii ni haki ya mafukara. Huu ndio wajibu wake.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://olamayemen.net/default_ar.aspx?id=662
Imechapishwa: 08/03/2018
https://firqatunnajia.com/alikuwa-hatoi-zakaah-ya-dhahabu-kwa-ujinga-na-sasa-dhadhabu-yote-imekwisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)