Swali: Kuna kijana mmoja ambaye bado hajabaleghe alifikiwa na Ramadhaan ambapo akafunga. Mwaka wa kufuata akabaleghe pamoja na hivyo akaendelea kuwa anafanya punyeto mchana wa Ramadhaan. Hata hivyo alikuwa hajui hukumu. Hajui ni siku ngapi alifanya punyeto. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Kusema kwamba alikuwa anafanya punyeto bado hajabaleghe ina maana kwamba alikuwa hatokwi na manii. Kikawaida punyeto inampelekea mtu kutokwa na manii hata kama ana miaka kumi peke yake. Alikuwa hajui hukumu na anadhani kuwa puneyo haifunguzi. Kwa ajili hiyo si lazima kwake kulipa siku zake. Allaah (Ta´ala) amesema:
رَبَّنَا لَا تُؤَاخِذْنَا إِن نَّسِينَا أَوْ أَخْطَأْنَا
“Ee Mola wetu! Usituchukulie pale tutaposahau au tukikosea.”[1]
Allaah akasema:
“Nimefanya hivo.”
[1] 02:286
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/234-235)
- Imechapishwa: 27/05/2019
Swali: Kuna kijana mmoja ambaye bado hajabaleghe alifikiwa na Ramadhaan ambapo akafunga. Mwaka wa kufuata akabaleghe pamoja na hivyo akaendelea kuwa anafanya punyeto mchana wa Ramadhaan. Hata hivyo alikuwa hajui hukumu. Hajui ni siku ngapi alifanya punyeto. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Kusema kwamba alikuwa anafanya punyeto bado hajabaleghe ina maana kwamba alikuwa hatokwi na manii. Kikawaida punyeto inampelekea mtu kutokwa na manii hata kama ana miaka kumi peke yake. Alikuwa hajui hukumu na anadhani kuwa puneyo haifunguzi. Kwa ajili hiyo si lazima kwake kulipa siku zake. Allaah (Ta´ala) amesema:
رَبَّنَا لَا تُؤَاخِذْنَا إِن نَّسِينَا أَوْ أَخْطَأْنَا
“Ee Mola wetu! Usituchukulie pale tutaposahau au tukikosea.”[1]
Allaah akasema:
“Nimefanya hivo.”
[1] 02:286
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/234-235)
Imechapishwa: 27/05/2019
https://firqatunnajia.com/alikuwa-hajui-kuwa-punyeto-inafunguza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)