Swali: Kuchinja katika maulidi, kusherehekea usiku wa ishirini na saba Rajab, sikukuu ya Hijrah, sikukuu ya kuzaliwa kwa mama na sikukuu ya mapinduzi ni katika mambo ya kipindi cha kikafiri?
Jibu: Sikukuu yoyote, mbali na ´Iyd-ul-Fitwr na ´Iyd-ul-Adwhaa na ijumaa ambayo ni sikukuu ya wiki, zilizobaki zengine zote ni katika mambo ya kipindi cha kikafiri ambazo hazikuja katika Kitabu na Sunnah.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2992
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Kuchinja katika maulidi, kusherehekea usiku wa ishirini na saba Rajab, sikukuu ya Hijrah, sikukuu ya kuzaliwa kwa mama na sikukuu ya mapinduzi ni katika mambo ya kipindi cha kikafiri?
Jibu: Sikukuu yoyote, mbali na ´Iyd-ul-Fitwr na ´Iyd-ul-Adwhaa na ijumaa ambayo ni sikukuu ya wiki, zilizobaki zengine zote ni katika mambo ya kipindi cha kikafiri ambazo hazikuja katika Kitabu na Sunnah.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2992
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/al-waadiiy-kuhusu-sherehe-ya-maulidi-kuzaliwa-kwa-mama-na-usiku-wa-rajab/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)