Swali: Je, mwanamke anaweza kuondosha nywele za usoni mwake na za mwili wake wote isipokuwa tu za kichwani tu?
Jibu: Tunachomnasihi asiziondoshe, isipokuwa tu ikiwa kama yuko na ndevu. Hakuna ubaya akaziondosha. Kwa kuwa akiziondosha kwa mara ya kwanza, zitaongezeka na kuwa nyingi zaidi. Isitoshe zitakuwangumu na mbaya ilihali angeliziacha zingekuwa laini. Tunamnasihi asifanye hivyo, na lau atafanya hivyo hakuna neno. Hakuna dalili inayoharamisha na hili – In Shaa Allaah – haliingii katika kubadilisha maumbile ya Allaah.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1556
- Imechapishwa: 07/03/2018
Swali: Je, mwanamke anaweza kuondosha nywele za usoni mwake na za mwili wake wote isipokuwa tu za kichwani tu?
Jibu: Tunachomnasihi asiziondoshe, isipokuwa tu ikiwa kama yuko na ndevu. Hakuna ubaya akaziondosha. Kwa kuwa akiziondosha kwa mara ya kwanza, zitaongezeka na kuwa nyingi zaidi. Isitoshe zitakuwangumu na mbaya ilihali angeliziacha zingekuwa laini. Tunamnasihi asifanye hivyo, na lau atafanya hivyo hakuna neno. Hakuna dalili inayoharamisha na hili – In Shaa Allaah – haliingii katika kubadilisha maumbile ya Allaah.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1556
Imechapishwa: 07/03/2018
https://firqatunnajia.com/al-waadiiy-kuhusu-mwanamke-kunyoa-nywele-za-mwilini-mwake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)