Swali: al-Qardhwaawiy anasema kuwa inajuzu kwa wanaume na wanawake kucheza filamu za maigizo. Ametumia dalili ya visa vilivyokuja katika Qur-aan na kusema kuwa Qur-aan inaegemea katika usulubu wa burudani. Ametaja visa vingine kutolea mfano kama vile kisa cha Sulaymaan (´alayhis-Salaam) na wadudu chungu na ndege, watoto wa Aadam na kunguru na Ismaa´iyl (alayahis-Salaam). Kisha akasema:
“Haiingii akili tukaharamisha picha, maigizo au kitu kingine katika mahitaji ya leo.”
Vipi tutamraddi al-Qardhwaawiy kwa aliyoyasema?
Jibu: al-Qardhwaawiy hastahiki kingine isipokuwa kipigo kama ambacho ´Umar alimpiga Swabiygh ili mabalaa yatoke kichwani mwake. Kutumia kwake dalili Qur-aan ya kwamba maigizo yanajuzu amemnasibishia uongo Allaah na Qur-aan. Mwenye kumzulia Allaah na Qur-aan uongo ni mwongo mzushi. Lau kama nisingemchukulia kuwa anayafasiri mambo kimakosa basi ningemkufurisha.
Kuhusiana na picha, mimi – na himdi zote ni za Allaah – nimeandika kitabu kilichochapishwa kwa jina “Hukm Taswiyr Dhaat-il-Arwaah”. Kinauzwa madukani.
Kuhusu hukumu ya kucheza maigizo, rejea katika kitabu kilichoandika Shaykh Bakr Abu Zayd. Kinatosha!
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waad´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Iskaat-ul-Kalb al-´Aawiy Yusuf bin ´Abdillaah al-Qardhwaawiy, uk. 76
- Imechapishwa: 08/10/2016
Swali: al-Qardhwaawiy anasema kuwa inajuzu kwa wanaume na wanawake kucheza filamu za maigizo. Ametumia dalili ya visa vilivyokuja katika Qur-aan na kusema kuwa Qur-aan inaegemea katika usulubu wa burudani. Ametaja visa vingine kutolea mfano kama vile kisa cha Sulaymaan (´alayhis-Salaam) na wadudu chungu na ndege, watoto wa Aadam na kunguru na Ismaa´iyl (alayahis-Salaam). Kisha akasema:
“Haiingii akili tukaharamisha picha, maigizo au kitu kingine katika mahitaji ya leo.”
Vipi tutamraddi al-Qardhwaawiy kwa aliyoyasema?
Jibu: al-Qardhwaawiy hastahiki kingine isipokuwa kipigo kama ambacho ´Umar alimpiga Swabiygh ili mabalaa yatoke kichwani mwake. Kutumia kwake dalili Qur-aan ya kwamba maigizo yanajuzu amemnasibishia uongo Allaah na Qur-aan. Mwenye kumzulia Allaah na Qur-aan uongo ni mwongo mzushi. Lau kama nisingemchukulia kuwa anayafasiri mambo kimakosa basi ningemkufurisha.
Kuhusiana na picha, mimi – na himdi zote ni za Allaah – nimeandika kitabu kilichochapishwa kwa jina “Hukm Taswiyr Dhaat-il-Arwaah”. Kinauzwa madukani.
Kuhusu hukumu ya kucheza maigizo, rejea katika kitabu kilichoandika Shaykh Bakr Abu Zayd. Kinatosha!
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waad´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Iskaat-ul-Kalb al-´Aawiy Yusuf bin ´Abdillaah al-Qardhwaawiy, uk. 76
Imechapishwa: 08/10/2016
https://firqatunnajia.com/al-waadiiy-anamkufurisha-al-qardhwaawiy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)